Duration 9:31

MATUTA 270 YALIYOPO BARABARA YA TUNDUMA-SUMBAWANGA NI KERO, PUNGUZENI-MBUNGE MWAKANG'ATA

119 watched
0
2
Published 17 Jun 2021

MBUNGE wa Viti Maalumu Mkoa wa Rukwa, Bupe Mwakang'ata ameiomba Serikali kupunguza matuta 270 yaliyopo kwenye barabara ya Tunduma-Sumbawanga ambayo ni kero na huwachosha abiria na madereva wanapofika mwisho wa safari. Pamoja na mambo mengine, Mwakang'ata alitoa mchango huo wakati wa mjadala wa Bajeti Kuu ya Serikali bungeni Dodoma Juni 16, 2021. Imeandaliwa na Richard Mwaikenda Mhariri Blog ya Taifa ya CCM 0754264203

Category

Show more

Comments - 0