#tanzania_unforgetable #Tanzania #MakaoMakuuDodoma #Kilimanjaro #Dodoma #kazi iendelee
Bw. MUUNGANO SAGUYA Meneja Habari ya Mahusiano walikuwepo mapema leo kwenye #Jotolaasubuhi
Kutoka NHC walipita leo kuzungumzia miradi mbalimbali inayosimamiwa na NHC ikiwemo mradi wa Morocco na kueleza mipango na maendelea ya inayoendelea Nchi nzima.
Pia kama NHC wako mbioni kuanzisha kiwanda kwa ajili ya malighafi za ujenzi kama matofali,mabati , nondo na vifaa vingine ilikuweza kujenga nyumba nyingi ambazo zitakua na gharama nafuu kwa watanzania.
#JotoLaAsubuhi
Category
Show more
Comments - 0
Related videos for SERIKALI YA AWAMU YA SITA SHIRIKA LIPO IMARA KAZI IENDELEE: